Numbers 5:9-10

9 aMatoleo yote matakatifu ya Waisraeli wanayoleta kwa kuhani yatakuwa yake. 10 bKila kitu cha mtu kilichowekwa wakfu ni chake mwenyewe, lakini kile atoacho kwa kuhani kitakuwa cha kuhani.’ ”

Copyright information for SwhNEN